pmbet

Guardiola aichomolea Italia

Eric Buyanza

July 24, 2026
Share :

Pep Guardiola ameripotiwa kukataa ofa ya kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Italia baada ya mazungumzo yaliyodumu kwa siku kadhaa kati yake na Shirikisho la Soka la Italia (FIGC).
 

Kwa mujibu wa La Gazzetta dello Sport, Guardiola alitoa jibu lake usiku wa kuamkia Ijumaa akisema: “Asanteni, ni heshima kubwa, lakini kwa sasa siko tayari.”
 

Taarifa hiyo baadaye ilithibitishwa na Sky Sports, ikimaanisha kuwa kocha huyo wa zamani wa Manchester City hataiongoza Italia kwa sasa.
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet