Hakuna mwamuzi wa Tanzania watakaochezesha AFCON 2025
Sisti Herman
November 26, 2025
Share :

CAF imetoa orodha ya mwisho ya wasimamizi na waamuzi wa mechi kwa ajili ya michuano ya AFCON 2025 nchini Morocco mwezi ujao.
Waamuzi (nchi) - Idadi
Algeria - 2
Ghana - 1
Afrika Kusini - 1
Kenya - 1
Moroko - 2
Rwanda - 1
Mauritania - 2
Misri - 2
Mataifa yenye ligi shindani kama Tanzania na Nigeria hayana waamuzi waliochaguliwa kwenye michuano hiyo.






