Hakutakuja kutokea mchezaji mwingine kama Messi - Herrera
Eric Buyanza
April 24, 2026
Share :

Kiungo wa Boca Juniors, Ander Herrera, amemlinganisha winga wa Barcelona Lamine Yamal na nahodha wa Inter Miami Lionel Messi.
Akiongea na TNT Sports nyota huyo wa zamani wa Paris Saint-Germain, hakutakuja kutokea tena mchezaji mwingine kama Messi.
"Kusema ukweli, kwangu mimi mchezaji kama Lionel Messi hatatokea tena"
"Lamine Yamal labda kidogo ndiye mtu anayemkaribia ambaye nimemuona mpaka sasa," alisema Herrera.





