pmbet

Harmonize kutambulisha wasanii wapya wawili kwenye lebo yake.

Joyce Shedrack

July 16, 2025
Share :

Staa wa Bongo Fleva na Mmiliki wa Konde Music Harmonize ametangaza kutambulisha wasanii wapya wawili kwenye lebo yake ya Konde Music kabla ya mwaka mwaka kuisha.
Court orders Harmonize to pay bank Ksh5.4 million – Nairobi News
Harmonize ametoa taarifa hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram wakati akiwashukuru mashabiki baada ya akaunti ya Instagram ya Konde Music kufikisha wafuasi milioni tatu.

"Unajua nini kuna nyimbo mbili zinakuja kabla ya Agosti mwaka huu, na kama haitoshi kuna wasanii wawili wanakuja mwisho wa mwaka huu," ameandika Harmonize.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet