pmbet

Huyu hapa mrithi wa Boniface AFCON

Sisti Herman

January 9, 2024
Share :

Baada ya jeraha la mshambuliaji nyota wa timu ya Taifa Nigeria inayojiandaa na AFCON 2023 Victor Boniface Kocha mkuu wa kikosi cha timu hiyo Jose Peseiro amemjumuisha kikosini mshambuliaji wa klabu ya OGC Nice ya Ufaransa Terem Moffi kurithi pengo la mshambuliaji huyo wa Bundesliga anayekipiga Bayer Leverkursen.
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet