pmbet

India leo yazindua Treni inayopita chini ya maji

Eric Buyanza

March 6, 2024
Share :

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi leo Jumatano amezindua treni ya kwanza nchini humo inayopita chini ya maji kutoka mji wa Kolkata kwenda Howrah.
 

Modi alizindua kwa kufanya safari ya kwanza chini ya maji akiwa kwenye treni hiyo ambayo imekuwa gumzo akiwa amejumuika na wanafunzi.
 

Baadaye alipost picha kadhaa kwenye akaunti yake rasmi ya X (zamani Twitter), akisema: "Ziara ya Metro imeacha kumbukumbu ya kudumu kwa wote waliohusika katika mradi huo...tumepita kwenye handaki chini ya Mto Hooghly.”

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet