pmbet

Je Arsenal itaweza kuchua Treble?

Sisti Herman

March 23, 2026
Share :

 

Mashabiki Arsenal juzi tu walikuwa na ndoto za kutwaa mataji yote manne wanayoshindania (QUADRUPLE) kama;

1. Ligi Kuu Uingereza
2. Kombe la FA
3. Kombe la Ligi (EFL Carabao Cup)
4. Uefa Champions league

Hadi sasa kombe moja kati ya hao limeshaenda kwa Man City

Bado wana nafasi ya kutwaa matatu yaliyobaki (TREBLE)

Je wataweza Kubeba yaliyobaki?

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet