pmbet

JE, WAJUA: Dogo alikutwa jangwani peke yake akikimbia vita akitoka Syria kuelekea Jordan!

Eric Buyanza

March 5, 2024
Share :

Mwaka 2020 mtoto wa kiume wa miaka 4 alikutwa na maafisa wa UNHCR akitembea mwenyewe katikati Jangwa akitoka Syria kama mkimbizi kuelekea nchini Jordan.

Kitu pekee alichokuwa amebeba mtoto huyu ni mfuko wa plastiki uliokuwa na nguo za mama yake na za dada yake waliofariki vitani nchini Syria.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet