pmbet

JE WAJUA: Mohamed Ali alimfwata Sadam na kuokoa mateka 15 wa Marekani

Eric Buyanza

February 26, 2024
Share :

JE WAJUA 

 

Novemba mwaka 1990 aliyekuwa bingwa wa zamani wa ngumi za uzito wa juu duniani, Muhammad Ali, aliokoa maisha ya mateka 15 wa Marekani waliokuwa wakishikiliwa nchini Iraq.

Ali akiwa peke yake alijitolea kwenda Iraq na kufanya mazungumzo na Saddam Hussein, akipuuza maonyo aliyopewa kutoka kwa serikali ya marekani pamoja familia yake.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet