pmbet

JE,WAJUA: Korea kusini kuna sehemu za kutelekeza watoto

Eric Buyanza

February 24, 2024
Share :

JE, WAJUA

Katika hali ya kushangaza, kwenye mji wa Seoul huko Korea Kusini kwenye maeneo mbalimbali jijini humo kuna masanduku maalum (Baby Box) kwa ajili ya kutelekeza watoto...ambapo wazazi wanaweza kumtoa/kumtelekeza mtoto wao bila kujulikana.
 

Kama humtaki mtoto, badala ya kumtupa  mtaani au kumuacha sehemu isiyo sahihi basi unafika kwenye visanduku hivyo unamuweka na kisha unapotea zako.
 

Masanduku ya kutelekeza watoto huko Seoul hufanya kazi masaa 24, siku saba kwa wiki.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet