pmbet

Jezi mpya Man Utd balaa tupu...!

Sisti Herman

July 1, 2024
Share :

Klabu ya Manchester United ya ligi kuu Uingereza imezindua jezi mpya kwaajili ya msimu wa 2023/24.

Jezi mpya za Man Utd zimeonekana kuwa na ubunifu tofauti na za msimu jana huku pia zikiwa na wadhamini tofauti eneo la mbele, kutoka 'Team-Viewer na sasa 'Snapdragon'.

Mashabiki wengi wa timu hiyo wamezisifia sana jezi hizo zilizobuniwa na kampuni ya Adidas.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet