pmbet

Jide amshukuru Mungu kuyakabili mapito bila kula unga!

Eric Buyanza

December 13, 2023
Share :

Kupitia mtandao wake wa X (Twitter) malkia wa muziki wa Bongo Fleva Lady Jay Dee amemshukuru Mungu kuweza kuyakabili mapito yake ya maisha aliyoyapitia bila kutumia madawa ya kulevya.

Ameanidka:

"Nashukuru Mungu alinipa ujasiri wa kukabili mapito yangu bila kuingia kwenye biashara za kula Unga na kuanza kumlaumu kila mtu. Lord i thank you" 🙏🏾.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet