pmbet

Jonathan Sowah na Simba ndo basi tena.

Joyce Shedrack

April 9, 2026
Share :

Taarifa zinaeleza kuwa mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana, Jonathan Sowah ameandika barua ya kuomba kuvunja mkataba wake kwa wekundu wa Msimbazi Simba baada ya kutoridhishwa na tuhuma zilizotolewa kwake na kupelekea kusimamishwa kucheza mpira.

Official: Jonathan Sowah seals two-year move to Simba SC | FootyGHANA.com

Sowah ambaye alijiunga na Simba dirisha kubwa la usajili akitokea Singida Black Stars ameifungia klabu hiyo magoli matatu kabla ya kusimamishwa akisubiri maamuzi ya kamati ya nidhamu ya Simba kuhusu tuhuma zinazomkabili.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet