pmbet

Joshua Mutale arithi Mikoba ya Chama Simba

Sisti Herman

July 1, 2024
Share :

Klabu ya Simba imemtambulisha aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa klabu ya Power Dynamos ya ligi kuu Zambia na timu ya Taifa ya Zambia Joshua Mutale kuwa mchezaji wao kwa mkataba wa miaka mitatu.

 

 Mutale mwenye umri wa miaka 22 anatajwa kurithi mikoba ya Mzambia mwenzake Clatous Chama aliyetimkia Yanga.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet