pmbet

Juventus watamani kuongeza kandarasi ya Samuel

Eric Buyanza

January 10, 2024
Share :

Klabu ya Juventus wanajiandaa kwa mazungumzo na winga Muingereza Samuel Iling-Junior kujadili kuhusu kuongezwa kwa kandarasi.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20, mkataba wake wa sasa unakamilika mwaka 2025.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet