pmbet

Kaa tayari kupokea goma la mwaka ijumaa hii, ni Harmonize ft Rayvanny

Eric Buyanza

June 12, 2024
Share :

Mashabiki wa muziki Tanzania wategemee kolabo ya mwaka Ijumaa hii.
 

Hii ni baada ya msanii Harmonize kuweka hilo wazi kupitia InstaStory kwamba Ijumaa anatarajia kuachia ngoma mpya akimshirikisha Vani Boy @rayvanny

 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet