pmbet

Kardinali Rugambwa na Papa Leo meza moja Vatican

Sisti Herman

June 28, 2026
Share :

 

Katika Mkutano Mkuu wa Pili wa Makardinali unaoendelea Vatican, Baba Mtakatifu Papa Leo XIV alionekana akiwa ameketi katika meza moja na Kardinali Protase Rugambwa wa Tanzania wakati wa majadiliano ya vikundi.

Uwepo wa Kardinali Rugambwa karibu na Baba Mtakatifu unaonyesha ushiriki wake katika mijadala muhimu kuhusu maisha na utume wa Kanisa, huku Makardinali kutoka sehemu mbalimbali za dunia wakishauriana kuhusu kuimarisha umoja, ushirika na mwelekeo wa Kanisa katika nyakati za sasa.
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet