pmbet

Karia atinga mazoezini Simba ikijiandaa kuivaa Al Ahly

Sisti Herman

March 28, 2024
Share :

Rais wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Wallace Karia jana usiku ametembelea mazoezi ya kikosi cha Simba na kuzungumza na wachezaji kuelekea mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambao utapigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, Ijumaa hii.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet