pmbet

Kelvin John ajiunga kambini kujiwinda na AFCON.

Joyce Shedrack

December 12, 2025
Share :

Mshambuliaji wa kikosi cha Timu ya Taifa @taifastars_ @kelvin.p.john amewasili kambini Misri kwa ajili ya maandalizi ya Fainali za AFCON 2025, Morocco.

Kelvin John udtaget til Tanzanias landshold

Nyota huyo anayekipiga nchini Denmark katika klabu ya Aalborg ya nchini humo amejiunga na kikosi cha Stars jana usiku akitokea Denmark.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet