Kinda wa Tanzania, Barka Seif ajiunga na Academy ya Barcelona 'La Masia'
Sisti Herman
June 8, 2026
Share :

Kinda wa Kitanzania Barka seif mpanda amejiunga rasmi na academy ya klabu ya FC Barcelona ya nchini Hispania akitokea FC Damm ya nchini humo
Kiwango bora alchokionesha akiwa FC Damm ambapo kwa msimu uliopita aliibuka mfungaji bora kwa kufunga magoli 41 katika michezo 28 ya ligi za vijana Catalunya kimewapelekea Barcelona kuona uwezo wake na kumsajili katika academy yao
Anaweka rekodi ya kua mtanzania wakwanza kujiunga na academy hio ya klabu kubwa duniani iliozalisha mastaa wengi wa soka.





