pmbet

Kiungo bora wa Italia kumrithi Kevin De Bruyne Man City.

Joyce Shedrack

June 4, 2025
Share :

Klabu ya Manchester City imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo wa Timu ya Taifa ya Uholanzi na klabu ya AC Milan Tijani Reijnders mwenye umri wa miaka 26 ili kurithi nafasi ya Kevin De Bruyne ambaye hatakuwa sehemu ya kikosi hicho msimu ujao.

We've had some tough conversations' - Netherlands star Tijjani Reijnders  admits Oranje have held clear-the-air talks after shock Austria defeat at  Euro 2024 | Goal.com
Man City imeanza mazungumzo rasmi na AC Milan ili kunasa saini ya nyota huyo mapema ambaye alikuwa na kiwango bora msimu uliomalizika katika ligi ya Italia Serie A na kuchaguliwa kuwa kiungo bora wa msimu wa ulioisha.

 

Nyota huyo bado anamkataba wa AC Milan unaotarajia kutamatika June 30 mwaka 2030. 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet