Kiungo wa zamani wa Simba atimkia Ethiopia.
Joyce Shedrack
February 23, 2026
Share :
Kiungo wa zamani Simba raia wa Nigeria Augustine Okejepha amekamilisha uhamisho wake kwenda klabu ya Ligi Kuu ya Ethiopia, Welayta Dicha, kwa mkataba wa miezi sita.

Okejepha aliondoka Simba mwishoni mwa msimu uliopita na kujiunga na timu inayoshiriki ligi kuu ya Iraq kabla ya kujiunga Ethiopia.





