pmbet

Kocha afungiwa Ujerumani kwa kumsukuma Sane

Sisti Herman

January 26, 2024
Share :

Chama cha Soka nchini Ujerumani, kimemfungia kocha wa Union Berlin, Nenad Bjelica mechi (3) na kupigwa faini ya Euro 25,000 kwa tukio ambalo lililoonekana akimsukuma winga wa Bayern Munich, Leroy Sane wakati wa mchezo wao January 24.

 

Kocha huyo aliijngia katika mzozo na kiasi cha kuoneshwa kadi nyekundu na mwamuzi wa mchezo huo katika dakika ya 74, baada ya kumsukuma winga wa Bayern Munich, Leroy Sane, Mchezo ulimalizika kwa Bayern Munich kushinda goli 1-0.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet