Kocha wa Pamba Jiji asema wanaihofia Yanga.
Joyce Shedrack
August 27, 2026
Share :
Kocha Mkuu wa Pamba Jiji Francis Baraza amesema hawaiogopi timu ya Yanga lakini watajitahidi kuwadhibiti lakini pia kuwaadhibu kutokana na makosa ambayo wachezaji wa Yanga watayafanya, utakuwa ni mchezo mzuri lakini dakika 90 zitaamua mchezo huo.





