pmbet

Kocha wa Simba akiri wanahitaji kuwa bora ili kuwafunga Yanga kesho.

Joyce Shedrack

May 2, 2026
Share :

Kocha Mkuu wa @simbasctanzania Steven Barker akizungumza kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya @yangasc huku akikiri kuwa anajua ubora wa Yanga.

โ€œTunahitajika tuwe bora zaidi uwanja kuliko wao, Tunatakiwa kuwa na nguvu na upambanaji muda wote, Tukifanya hivyo tutaishika mechi.โ€

"Kama tutapoteza kesho tutakuwa tumejitoa kwenye mbio za ubingwa maana sioni Yanga wakiangusha alama huko mbeleni."- Steve Barker Head Coach Simba SC.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet