Kocha wa Simba akiri wanahitaji kuwa bora ili kuwafunga Yanga kesho.
Joyce Shedrack
May 2, 2026
Share :
Kocha Mkuu wa @simbasctanzania Steven Barker akizungumza kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya @yangasc huku akikiri kuwa anajua ubora wa Yanga.
โTunahitajika tuwe bora zaidi uwanja kuliko wao, Tunatakiwa kuwa na nguvu na upambanaji muda wote, Tukifanya hivyo tutaishika mechi.โ
"Kama tutapoteza kesho tutakuwa tumejitoa kwenye mbio za ubingwa maana sioni Yanga wakiangusha alama huko mbeleni."- Steve Barker Head Coach Simba SC.





