pmbet

Koffi Olomide agombea Useneta

Eric Buyanza

February 26, 2024
Share :

Mwanamuziki nguli wa Kongo na Afrika kwa ujumla, Koffi Olomide anawania kiti cha useneta wa jimbo la Sud Ubangi kwa tiketi ya chama cha AFDC cha Rais Felix Tshisekedi.
 

Uchaguzi huo wa maseneta unatarajiwa kufanyika wiki hii

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet