pmbet

Kofii Olomide ajitupa kwenye siasa rasmi

Eric Buyanza

April 11, 2024
Share :

Mwanamuziki mkongwe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Koffi Olomide ametangaza nia ya kuwania kiti cha Useneta nchini humo. 

Koffi anatarajiwa kugombea katika jimbo la Sud-Ubangi, Kaskazini-Magharibi mwa Kongo katika uchaguzi utakaofanyika wa Aprili 22 kupitia chama cha AFDC-A.

Fuatilia video hapo chini;

 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet