pmbet

Kolabo ya Davido na Wizkid ingeukuza zaidi muziki wa Afrobeats

Eric Buyanza

July 9, 2025
Share :

Meneja wa Davido, Asa Asika amedai kuwa muziki wa Afrobeats ungekuwa na mafanikio zaidi kama Davido angeshirikiana na Wizkid.

Asika alitoa kauli hiyo alipokuwa kwenye mahojiano na Podcast ya Afropolitan alipokuwa akizungumzia mafanikio ya muziki wa Afrobeats kimataifa ambapo aliwataka wasanii kutanguliza ushirikiano kwenye kazi zao jambo ambalo litaongeza mvuto wa muziki kimataifa.

"Afrobeat ingekuwa kubwa zaidi kama Davido, Wizkid na wengine wangeshirikiana. Ninaweza kuwa nimekosea lakini kuna uwezekano mkubwa wa Afrobeat kuwa na mafanikio zaidi” 
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet