pmbet

Laporta amtuhumu Xavi kutumika na mpinzani wake.

Joyce Shedrack

March 9, 2026
Share :

Mgombea urais wa FC Barcelona, Joan Laporta, amemtuhumu kocha wa zamani wa klabu hiyo Xavi Hernández kutumika na mpinzani wake anayegombea pia nafasi hiyo ya Urais.

 

Laporta amemlaumu Xavi kwa kukubali kutumika baada ya kauli alizozingumza katika mahojiano yake aliyoyafanya siku ya jana akidai kuwa mshirika wa karibu wa Laporta, Alejandro Echevarria, ndiye anayeendesha mambo ndani ya klabu.

Do you think Xavi is doing the right thing by supporting Victor Font for  the Barça elections? : r/Barca

“Inaniuma kwamba alijiruhusu kutumiwa na kwamba alimshambulia Alejandro Echevarria ili kuniumiza. Echevarría na Rafael Yuste walitetea kubaki kwa Xavi hadi mwisho,”

 

“Nyuma ya Xavi kuna mtu anayemtumia, na huyo ni Víctor Font. Anajaribu kuchafua mambo. Malalamiko kutoka kwa mwanachama pia yalifanya kazi kwa manufaa yake, yakampa uaminifu.”


 

 

 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet