pmbet

Licha ya Ofa kucheza Saudia, Anthony Martial anatamani kubakia Ulaya

Eric Buyanza

January 15, 2024
Share :

TETESI ZA USAJII

Usajili Mshambulizi wa Manchester United Anthony Martial yuko tayari kukataa ofa ya ya kwenda kucheza ligi ya Saudi Arabia kwasababu anatamani kubakia Ulaya. 

Wakati akionesha msimamo huo, West Ham, Inter Milan na Fenerbahce wanadaiwa kutamani huduma ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa mwenye miaka 28. 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet