pmbet

Liverpool kuwa Mabingwa leo, Arsenal ikizuiliwa na Palace

Sisti Herman

April 23, 2025
Share :

Endapo klabu ya Arsenal leo itapoteza mchezo wao wa ligi kuu Uingereza dhidi ya Crystal Palace basi klabu ya Liverpool itatawazwa rasmi kuwa Mabingwa wapya wa Ligi kuu Uingereza 2024/25.

Arsenal wapo nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi uliobakisha mechi 5 wakiwa na alama 66, alama 13 nyuma ya Liverpool wenye alama 79.

Endapo Palace wakishinda leo basi Arsenal hatoweza kufikia alama 79 za Liverpool kwenye michezo iliyobaki.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet