pmbet

M23 waiteka Lumbishi mji maarufu kwa uchimbaji wa madini

Eric Buyanza

January 20, 2025
Share :

Wapiganaji wa kundi la waasi linaoungwa mkono na Rwanda la M23, wamechukua udhibiti wa eneo muhimu la uchimbaji madini nchini Kongo. 

Wakazi wameliambia shirika la habari la AFP kwa njia ya simu kwamba kundi hilo lenye silaha lilichukua udhibiti wa mji wa Lumbishi, eneo lenye utajiri wa madini katika mkoa wa  Kivu Kusini juzi Jumamosi, kabla ya kuelekea Numbi na Shanje, maeneo mengine mawili katika jimbo  jirani la Kalehe. 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet