Mabasi ya umeme ya Uganda yaanza kutumika
Sisti Herman
May 5, 2026
Share :

Uganda imezindua rasmi huduma za mabasi ya umeme kuanzia katika mji wake mkuu wa Kampala.
Mabasi ya E-Bus Xpress (EBX) yanatengenezwa katika kiwanda cha Kiira Motors katika Wilaya ya Jinja nchini humo.
Serikali inasema hatua hii inaashiria hatua kubwa kuelekea matumizi ya mfumo safi wa nishati, na usafiri wa umma wenye mpangilio mzuri zaidi jijini Kampala.
Credit; TRT





