pmbet

Madrid kumfanya Mbappe mchezaji anayelipwa pesa nyingi zaidi

Eric Buyanza

May 11, 2024
Share :

Mshambuliaji wa Ufaransa Kylian Mbappe mwenye umri wa miaka 25, atakuwa mchezaji anayelipwa pesa nyingi zaidi Real Madrid ikiwa atasaini na klabu hiyo baada ya kuondoka Paris Saint-Germain. 

Kulingana taarifa Mbappé anaenda kuwazidi mshahara Vinicius Junior pamoja na Jude Bellingham. 

Kwasasa wawakilishi wa Mbappe wanashinikiza kupata sehemu kubwa zaidi ya (haki za picha).

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet