Madrid kumkosa Courtois hadi Mei
Sisti Herman
March 22, 2026
Share :

Klabu ya Real Madrid imethibitisha kuwa kipa wao Thibaut Courtois atakuwa nje ya uwanja baada ya kuumia kwa misuli.
Courtois pia anaweza mechi zote 2 za hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Bayern Munich kulingana na Cope,na imeripotiwa kuwa atarejea mwezi Mei.





