Mahrez astaafu rasmi kucheza Algeria
Sisti Herman
January 11, 2026
Share :

Baada ya kutanza rasmi kabla ya kuanza kutimua vumbi kwa michuano ya AFCON 2025 kuwa huenda hii ikawa mara ya ke ya mwisho kushiriki , Nyota wa Algeria Riyad Mahrez ameripotiwa kutangaza rasmi kuhitimisha safari yake na timu ya taifa ya Algeria baada ya kucheza mchezo wake wa mwisho wa AFCON 2025 usiku wa leo 🇩🇿
Mahrez anastaafu akiwa ameacha historia kubwa ndani ya Desert Foxes, akihesabika kama mmoja wa wachezaji wakubwa zaidi kuwahi kuichezea Algeria.
📊 Takwimu zake za Taifa:
👕 Mechi: 98
⚽ Mabao: 37
🎯 Asisti: 36
🏆 Ubingwa wa AFCON: 2019
Kwa mchango wake mkubwa, uongozi na vipaji vya kipekee uwanjani, Mahrez ataendelea kukumbukwa kama ikon wa soka la Algeria na Afrika kwa ujumla.





