pmbet

Majeraha yamuondosha Messi timu ya Taifa

Sisti Herman

March 19, 2024
Share :

Shirikisho la soka nchini Argentina limetangaza kwamba nahodha wao Lionel Messi atasikosa mechi mbili za kirafiki.

Hii ni baada ya kuumia kwenye michezo iliyopita ya Ligi Kuu Marekani MLS dhidi ya Nashville.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet