pmbet

Mamelodi yaondoa wachezaji 7

Sisti Herman

July 7, 2025
Share :

 

Klabu ay Mamelodi Sundowns limetangaza kuachana na wachezaji watano kwa pamoja huku idadi ya walioondoka ikifikia 7 tangu msimu kumalizika.

Walioondoka hadi sasa Sundowns;

❌ Sanele Tshabalala
❌ Thabang Sibanyoni
❌ Sifiso Ngobeni
❌ Lucas Suarez
❌ Sipho Mbule
❌ Lebohang Maboe
❌ Rivaldo Coetzee

Mamelodi inapitisha panga zito sana kwenye dirisha hili.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet