pmbet

Man City wameanza mazungumzo ya kumsajili Rayan Ait-Nouri

Eric Buyanza

April 16, 2024
Share :

Manchester City wamefanya mazungumzo na Wolverhampton Wanderers kuhusu uwezekano wa kumnunua beki wa klabu hiyo Rayan Ait-Nouri.

Ait-Nouri mwenye umri wa miaka 22, amekuwa kwenye kiwango kizuri msimu huu kama beki wa kushoto na tayari amevivutia vilabu vikubwa vya Premier League.

Arsenal na Liverpool pia wako kwenye mawindo na wanamfuatilia kwa karibu mlinzi huyo wa Algeria, ingawa harakati za Man City zinaweza kusaidiwa na uhusiano wao mzuri na Jorge Mendes (wakala wa Ait-Nouri).

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet