pmbet

Man U wazieleza timu za Saudia kiwango wanachotaka kwa wachezaji hawa

Eric Buyanza

January 23, 2024
Share :

TETESI ZA USAJILI

Usajili Manchester United wameweka wazi kiwango wanachotaka kutoka kwa klabu za ligi ya Saudia (Saudi Pro League) kwa winga wa Uingereza Jadon Sancho na winga wa kiBrazil Antony Matheus dos Santos.

Taarifa zinasema Manchester United wanataka karibu Pauni milioni 50 kwa kila mchezaji.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet