pmbet

Man United wanafikiria kumnunua mshambuliaji wa Sevilla Soussef En-Nesyri

Eric Buyanza

December 23, 2023
Share :

Manchester United wanafikiria kumnunua mshambuliaji wa Sevilla na Morocco Youssef En-Nesyri mwenye miaka 26.
 

Man U wamefikia hivyo baada kumkosa  Serhou Guirass mchezaji wa kimataifa.

Guinea na klabu ya Ujerumani ya Stuttgart, ambaye nia yake ni kuhamia Tottenham.

Serhou Guirassy na umri wa miaka 27.

#TetesiZaUsajili

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet