pmbet

Man United yafukuzia saini ya Jeremy Monga

Sisti Herman

May 21, 2026
Share :

 

Manchester United ipo kwenye mazungumzo na Leicester kuhusu uwezekano wa kumnunua Jeremy Monga mwenye umri wa miaka 16.

Vilabu vinavyovutiwa vimeona fursa baada ya Leicester kushuka daraja, lakini bei ya pauni milioni 15 imetajwa.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet