Man United yawazuia Šeško na Mbeumo kujiunga na timu zao za Taifa
Sisti Herman
March 23, 2026
Share :

Washambuliaji wa Manchester United, Benjamin Šeško na Bryan Mbeumo wote watakuwa nje ya timu zao za Taifa kutokana na kuuguza majeraha.
Manchester United imethibitisha kuwa Šeško hatajiunga na timu ya taifa ya Slovenia, Mbeumo hatajiunga na Cameroon ili kudhibiti matatizo yao ya hivi majuzi kabla ya miezi miwili ya mwisho ya msimu.





