pmbet

Manchester United wafanya mazungumzo na wakala wa Adrien Rabiot

Eric Buyanza

May 4, 2024
Share :

Manchester United wanataka kumsajili Adrien Rabiot kama mchezaji huru mwishoni wa msimu huu. 

Kwa mujibu wa ripoti kutoka TEAMtalk, Manchester United wamekuwa wakiwasiliana na wakala wa kiungo huyo... lakini wanakabiliwa na ushindani mkubwa kutoka kwa klabu za PSG, Barcelona ​​na Bayern Munich kwenye kuiwania saini yake.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet