pmbet

Manchester United wanaweza kumuuza Greenwood ili kumsajili Bremer

Eric Buyanza

April 18, 2024
Share :

Soka Manchester United wanaweza kumuuza Mason Greenwood kama sehemu ya mpango wa kumsajili beki wa Brazil Gleison Bremer, 27, kutoka Juventus.

Greenwood, mwenye umri wa miaka 22, yuko kwa mkopo kwenye klabu ya Getafe ya Uhispania, alisimamishwa na Man Utd Januari 30 mwaka 2022, kwa tuhuma za unyanyasaji wa kijinsia.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet