pmbet

Martial akataa kwenda Fenerbahce na Marseille

Eric Buyanza

January 11, 2024
Share :

TETESI ZA USAJILI: Mshambuliaji wa Manchester United Anthony Martial amekataa kujiunga na Fenerbahce, Marseille na klabu ya Saudi Pro league.

Mfaransa huyo mwenye umri wa miaka 28 anatarajiwa kusalia Old Trafford hadi mkataba wake utakapokamilika msimu wa joto.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet