Mashujaa yaicha TRA United na kumsimanga Mwagala.
Joyce Shedrack
May 4, 2026
Share :
Klabu ya Mashujaa imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya TRA United kwenye mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara wakiwa nyumbani katika dimba la Lake Tanganyika Kigoma.
Goli lilowapa alama tatu Mashujaa katika mchezo huo limefungwa na Ismail Mgunda.





