pmbet

Massawe ajitosa ubunge Moshi vijijini

Sisti Herman

July 3, 2025
Share :

 

Mwenyekiti wa umoja wa wafanyabiashara na watoa huduma Tanzania, Bw. Martin Massawe, amechukua fomu kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi, kugombea ubunge Jimbo la Moshi vijijini.

 

Massawe ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Mkoa wa Kilimanjaro, amechukua fomu hiyo leo Julai 2, 2025 ambapo amekabidhiwa na katibu wa chama hicho Wilaya ya Moshi vijijini, Ramadhan Mahanyu.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet