pmbet

Mbappe hajapindisha maneno ameamua tu kuwa mkweli.

Joyce Shedrack

June 22, 2026
Share :

Mshambuliaji wa Ufaransa Kylian ametoa maoni yake kuhusu muda wa mapumziko wa kunywa maji kwenye kila mechi ya Kombe la Dunia.

Kylian Mbappe just got a Lionel Messi-shaped reason to beat the World Cup  record

"Maoni yangu kuhusu mapumziko ya kunywa maji? Msituulize sisi wachezaji maoni yetu, kwa sababu mara nyingi tunatoa maoni kulingana na hali ya wakati huo.

 

“Ikiwa kesho tutakuwa tunatawala mchezo kufikia dakika ya 25 na kukawa na mapumziko ya kunywa maji, tutakasirika kwa sababu yatavunja mtiririko wetu wa mchezo”.

 

"Lakini ikiwa hali ya hewa ni ya joto sana, au sisi ndio tunatawaliwa na wapinzani, basi nitafurahia mapumziko hayo."Amesema Mbappe.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet