pmbet

Mbappe mmiliki mdogo zaidi wa klabu Duniani ainunua Bilioni 58.6.

Joyce Shedrack

July 30, 2024
Share :

Mchezaji nyota wa Real Madrid Kylian Mbape amefanikiwa kuinunua klabu ya Caen  inayoshiriki ligi daraja la pili nchini Ufaransa  kwa thamani ya Euro milioni 20 sawa na TZS bilioni 58.6.

Mbape ameweka historia ya kuwa mmiliki wa klabu mwenye umri mdogo zaidi kuwahi kutokea katika historia ya mpira wa miguu barani Ulaya  akiwa na umri wa miaka 25.

Mchezaji huyo amekamilisha dili hilo siku chache tu baada ya  kujiunga na Real Madrid aliposajiliwa kama mchezaji huru na kufanikiwa kuingiza kitita kikubwa cha fedha ambazo ni zaidi ya bilioni 439.2 za usajili wake.

 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet